Saturday, July 17, 2010

Karibuni wasomaji wangu

Bi. Grace MIchael akiwasilisha mada ya uvujaji wa dawa za Serikali kwa wadau wa Bohari Kuu ya Dawa ambao walikutana katika semina ya kukumbushana wajibu wao katika kuwatumia wananchi hasa katika sekta ya afya.

No comments:

Post a Comment