SHUGHULI ya kumuaga mwenzetu, mpendwa wetu ilikuwa ni leo Julai 29, mwaka huu ambapo misa ilifanyika Kinondoni katika kanisa Katoliki la Hananasivu, ilikuwa ni huzuni ya aina yake kila kwa aliyemfahamu...
Tutamkumbuka siku zote za uhai wetu, naungana na wanamahakama katika kipindi hiki kigumu.
